Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi
wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu
maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM
Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El
Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo Bw.Nasibu Mahinya.
Ofisa
Masoko wa Tigo, Alex Msigara akielezea kuhusu udhamini wao katika
maadhimisho ya miaka 15 ya bendi hiyo Mwingine ni Kiongozi wa Bendi ya
FM Academia 'Wana Ngwasuma', Nyoshi El-Sadaat
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment