Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi
wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu
maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM
Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El
Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo Bw.Nasibu Mahinya.
Ofisa
Masoko wa Tigo, Alex Msigara akielezea kuhusu udhamini wao katika
maadhimisho ya miaka 15 ya bendi hiyo Mwingine ni Kiongozi wa Bendi ya
FM Academia 'Wana Ngwasuma', Nyoshi El-Sadaat
TAMASHA LA PASAKA LARUDI KWA KISHINDO 2026
-
Tamasha la Pasaka, linaloandaliwa na kuratibiwa na Msama Promotions,
limeendelea kuwa tukio muhimu la muziki wa Injili nchini Tanzania. Kwa
msimu huu, ...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment