Amesema Tigo itatuma ujumbe mfupi
wa maneno kwa wateja wote wa jiji la Dar es salaam kuwapa taarifa kuhusu
maadhimisho hayo ya miaka ya 15 ya bendi ya FM
Academia.(katikati)Mwimbaji wa bendi hiyo Bw.Nyoshi El
Sadaat.(kushoto)mratibu wa onesho hilo Bw.Nasibu Mahinya.
Ofisa
Masoko wa Tigo, Alex Msigara akielezea kuhusu udhamini wao katika
maadhimisho ya miaka 15 ya bendi hiyo Mwingine ni Kiongozi wa Bendi ya
FM Academia 'Wana Ngwasuma', Nyoshi El-Sadaat
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap...
1 day ago
No comments :
Post a Comment