Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, December 17, 2012

TIGO YATAMBULISHA HUDUMA MPYA.


Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kampuni ya Tigo Goodluck Charles, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu huduma mpya inayomuwezesha mteja kununua kifurushi cha Extreme kupitia Tigopesa, kushoto ni Afisa Masoko wa Tigo Jacqeline Nnunduma na Afisa Uhusiano wa Tigo Mariam Mlangwa.
Afisa Masoko wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Tigo Jacqueline Nnunduma akifafanua jambo kwa waandishi wa habari wakati wakitangaza huduma mpya ya kununua kifurushi cha Xtreme kupitia Tigopesa.
FAIDA atakazopata mteja atakayetumia huduma ya Xtreme kupitia tigopesa ni pamoja na muda wa nyongeza wa Tsh.450 utakao muwezesha kupiga simu kwenda mitandao yote nchini. Mbali na hilo wateja wataweza kununua vifurushi hivyo kwaajili ya ndugu jamaa na marafiki.

No comments :

Post a Comment