Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi mabweni ya
Wasichana katika shule ya sekondari ya Nachingwea leo.Wengine katika
picha kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi Ludovick Mwananzila,Mkuu
wa Shule ya Wasichana Lindi Bi.Rahma Zedi (Wapili kushoto),Mkurugenzi wa
wilaya ya Nachingwea,Mkuu wa wilaya ya Nachingwea Bibi.Regina Chonjo
na Mbunge wa Jimbo Nachingwea Bwana Mathias Chikawe.Picha na Freddy
Maro
USHAHIDI WA TUNDA LA MTI WA KATI KULIWA NGORONGORO HUU HAPA
-
Mwaka 1976, Mtafiti wa masuala ya Akiolojia Dr. Mary Leakey aligundua nyayo
za Zamadamu eneo la Laetoli zilizohifadhika katika mwamba wa jivu la
volcano ...
17 hours ago
No comments :
Post a Comment