Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 1, 2010

MARIGA: MKENYA WA KWANZA KUCHEZA LIGI KUU ENGLAND???

McDonald Mariga akiwa na klabu ya Parma FC akimtoka Jedaias Jeda aliyeanguka chini wa klabu ya Cagliari Calcio katika mchezo wa ligi kuu ya Italia maarufu Serie A katika mchezo dhidi ya Parma FC na Cagliari Calcio katika dimba la Ennio Tardini September 27, 2009 mjini Parma, Italy.
Kiungo wa kimataifa wa Kenya Macdonald Mariga anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya tayari kujiunga na matajiri wapya wa England Manchester City akijiunga na klabu hiyo akitoa klabu ya Parma FC ya Italia.
Mariga atakuwa mchezaji wa kwanza toka Kenya kufanikiwa kucheza katika ligi kuu ya England.
Manchester City imeripotiwa kukamilisha taratibu zote na klabu ya Parma kwa ajili ya kumnunua kiungo McDonald Mariga aliyetokea kutamba na klabu hiyo kongwe nchini Italia.Mariga alijiunga na Parma mwaka 2007 kwa mkopo akitokea Helsingborgs, lakini baadae waliamu kumsajili moja kwa moja baada ya kuvutiwa na kiwango chake.
Kiungo huyo mkabaji amekuwa akizidi kuwa bora kila siku na amekuwa akiwindwa na klabu mbali kwa mida mrefu sasa ikiwa ni pamoja na Arsenal na Inter Milan.
Lakini kocha wa Manchester City Roberto Macini sasa ameripotiwa kufanikiwa kuwashawisho matajiri wa klabu hiyo kumnunua kwa dau la Pauni milioni saba.
Mama yake Mariga Mildred Wanyama ameripotiwa nchini akisema anamuombea mwanawe afanikiwe hilo.Manuel Pasqual wa klabu ya ACF Fiorentina akichuana na McDonald Mariga wa Parma FC wakati wa mchezo wa Serie A kati ya Fiorentina na Parma katika uwanja wa Artemio Franchi Novemba 21, 2009 mjini Florence, Italy.
Hata hivyo kufuatia Kenya kuwa nafasi ya 98 kiungo huyo mkabaji ameshindwa kupata kibali cha kufanya nchini England, hivyo dili kama kuingia mchanga vile.
klabu ya Inter Milan sasa itakuwa nanafasi kubwa ya kumnyakua.

No comments :

Post a Comment