Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, February 26, 2010

SIMBA KUKIPIGA NA ZESCO YA ZAMBIA JUMAMOSI, NA AZAM JUMAPILI

Wekundu wa msimbazi Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Zesco ya Zambia jumamosi katika dimba la uhuru jijini Dar es Salaam.
Akiongea na kipindi cha michezo na burudani cha Radio Times FM Afisa habari wa Simba Cliford Ndimbo amesema kuwa mchezo huo ni maandalizi ya michuano kombe la Shirikisho barani Afrika CAF itakayoanza marchi mwaka huu.
Ndimbo ametaja viingilio katika mchezo huo kuwa VIP 10,000, na kuna viti vya Tshs 5000 na 3000.
Aidha amewataka mashabiki wa kandanda kujitokeza kwa wingi kuwaungana kama ambavyo wamekuwa wakiwaunga mkono katika michezo ya ligi kuu Tanzania Bara.
Siku ya JUmapili Machampion hao wa Zambia timu ya Zesco itacheza na klabu ya Azam FC ambayo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.

No comments :

Post a Comment