Wekundu wa msimbazi Simba inatarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Zesco ya Zambia jumamosi katika dimba la uhuru jijini Dar es Salaam.
Akiongea na kipindi cha michezo na burudani cha Radio Times FM Afisa habari wa Simba Cliford Ndimbo amesema kuwa mchezo huo ni maandalizi ya michuano kombe la Shirikisho barani Afrika CAF itakayoanza marchi mwaka huu.
Ndimbo ametaja viingilio katika mchezo huo kuwa VIP 10,000, na kuna viti vya Tshs 5000 na 3000.
Aidha amewataka mashabiki wa kandanda kujitokeza kwa wingi kuwaungana kama ambavyo wamekuwa wakiwaunga mkono katika michezo ya ligi kuu Tanzania Bara.
Siku ya JUmapili Machampion hao wa Zambia timu ya Zesco itacheza na klabu ya Azam FC ambayo inashika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu Tanzania Bara.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment