Katibu Mkuu wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Suleiman Nyambui (kushoto) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari jijini leo kuhusu mbio za nyika za 2010 ambazo zitafanyika mwishoni wa mwezi wa Februari 2010 mkoani Kilimanjaro. kulia ni Meneja ya Bia ya Kilimanjaro George Kavishe.
Mbio hizo za nyika zimedhaminiwa na Bia ya Kilimanjaro, Vodacom Tanazania pamoja na makampuni mengine nchini ikiwemo kampuni ya KK Security,Tanga Cement. Good Year, Kilimanjaro Water,Tanzanite One, DT Dobie Tanzania, TPC, New Africa Hotel na Keys Hotel, jumla ya shilingi milioni 22 zitashindaniwa na wanariadha mabimbali wanaotarajiwa kushiriki katika mbio hizo .
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment