Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, February 16, 2010

MISS TANZANIA HATIMAYE APATA DHAMANA

Miriam akiwa chini ya ulinzi kabla ya kuwekewa dhamana.
Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar mchana huu ,imewaachia kwa dhamana Miss Tanzania 2009/10 Miriam Gerald na mpenzi wake Kennedy Victor 'Kanny'. Kufanikiwa kwa dhamana hiyo kumetokana na harakati za Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundenga ‘Ankal’ pamoja na ndugu wa kijana Keny ambao tokea Ijumaa iliyopita walikuwa wakihaha mahakamani hapo kuwawekea dhamana.
Watuhumiwa hao walipandishwa kizimbani hivi karibuni katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi na kuharibu mali katika ukumbi wa TPDC uliopo Mikocheni jijini Dar.Miriam akipelekwa kusaini hati ya dhamana huku akiwa amejifunika
Picha kwa hisani kubwa ya GPL

No comments :

Post a Comment