Miriam akiwa chini ya ulinzi kabla ya kuwekewa dhamana.
Hatimaye Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar mchana huu ,imewaachia kwa dhamana Miss Tanzania 2009/10 Miriam Gerald na mpenzi wake Kennedy Victor 'Kanny'. Kufanikiwa kwa dhamana hiyo kumetokana na harakati za Mwenyekiti wa Kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundenga ‘Ankal’ pamoja na ndugu wa kijana Keny ambao tokea Ijumaa iliyopita walikuwa wakihaha mahakamani hapo kuwawekea dhamana.
Watuhumiwa hao walipandishwa kizimbani hivi karibuni katika Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni wakikabiliwa na mashtaka mawili ya kujeruhi na kuharibu mali katika ukumbi wa TPDC uliopo Mikocheni jijini Dar.Miriam akipelekwa kusaini hati ya dhamana huku akiwa amejifunika
Picha kwa hisani kubwa ya GPL
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment