Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 15, 2010

RADIO TIMES FM WALA VALENTINE NA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA MAGUMU

Katika kusherehekea sikukuu ya wapendanao maaurufu Valentine hapo Radio Times Fm ilijumuika na watoto wanaoishi katika mazingira magumu toka vituo tofauti katika uwanja wa karume na kushow luv vya kutosha.Hawa ni watoto wakicheza katika siku ya Valentine pamoja na wafanyakazi wa Radio Times Fm.Ukweli walijiachia vya kutosha na kusahau hata kama wanatoka matika mazingira magumu.Huyu kkijana anaitwa Hamisi anatokea kituo cha kulelea watoto cha Dogo Dogo Center, hapa ilikuwa ni baada ya kushinda shindano la kucheza akiondoka na miondoko ya KIDUKWI.Hawa ni watoto wakkishindana kujaza maji katika chupa, ilikuwa burudani sana.hawa walikuwa wakishindana kukimbia huku wakiwa wamefungwa miguu, ama kweli upele ulipata mkunaji.wakati michezo mingine ilipokuwa ikiendelea, kwa watoto wenye vipaji vya uchoraji nao walionyesha umahiri katika staili ya aina yake ya kuwapendeza wenzao kwa michoro tofauti tofauti.Hebu ona watoto walivyopendeza na michoro ambayo inamaua ambayo naamini kabisa mchoraji anamaanisha mtoto anapaswa kuanza kujengwa tangu akiwa mdogo kupenda asili ya Mtanzania.Hapa ilikuwa ni mashindano ya kumpata nani mjanja ambaye atabaki peke yake akiwa ameketi katika kiti, picha ya kwanza kulia ndivyo mchakato ulivyoanza huku picha ya katikati ndiyo mshindi alivyopatikana.Hiki ni kikund cha Wanne Stars nacho kiliungana na Radio Times FM kushow luv na watoto wanaoishi katika mazingira magumu, ebwana jamaa ni wakali katika michezo ya utamaduni.Hapa wafanyakazi wa Radio Times FM wakijiandaa kuingia uwanjani tayari kusakata kandanda na watoto wanaoishi katika mazingira magumu, mwenye Singlend ni mkurugenzi wa Radio TIMES FM naye hakuwa nyuma.Panapo mkusanyiko wowote hatari inaweza kutokea, hawa ni watu wa msalaba mwekundu walikuwepo bega kwa bega na RAdio Times FM kuhakikisha wanatoa huduma ya kwanza.Hapa mzee wa viwanjani akipozi na jamaa aliyevalia sanamu la katuni niipendayo ya BEN 10, kazi ilikuwa moja tu ni kupiga picha kwa kwenda mbele.
Hata hivyo Shukrani za pekee ni kwa Marrybrown waliyotoa vifaa vya kuchezea watoto na kampuni ya SBC watengenezaji wa Pepsi ambao walitoa vinywaji.

1 comment :

  1. mzuka mzee wa viwanja, nakukubali kazi yako si mchezo, big up kwa saaaaaaaaaaaana

    ReplyDelete