Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Posta Bw. Andrew Chimanzi (kulia) akizindua Easter Kampeni ya kutoa huduma za Benki ya Posta ambazo zitawezesha wateja wa Benki hiyo kupata huduma kwa urahisi katika kipindi hicho cha sikukuu za Pasaka.Kushoto ni Meneja Mkuu wa Huduma za Mauzo na Wateja Bi. Grace Nkuzi
TMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKISHA WADAU ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA
MABADILIKO YA HALI YA HEWA
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha
wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya
hali ya...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment