Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 25, 2011

MASHABIKI WA MSONDO WAFURAHIA BURUDANI TOKA KWA BENDI HIYO



Baadhi ya mashabiki wa bendi ya msondo ngoma wakipiga makofi kumshangiria mwanamziki mpya wa bendi hisho Shabani Dede 'Super Motisha' baada ya kuanza kuimba katika ukumbi wa Max bar Ilala Bungoni

Rapa wa bendi ya Msondo Roman Mng'ande 'Romario' akienda sambamba na mashabiki wa bendi hiyo waliofulika kuja kumuangalia mwanamziki mpya Shabani DEde 'Super Motisha' wakati wa onesho lao lililofanyika Ilala Mwishoni mwa wiki

No comments :

Post a Comment