Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 27, 2011

Pinda azindua Kliniki ya macho KCMC


Mkurugenzi wa Mawasiliano (SBL),Teddy Mapunda akimkaribisha mgeni rasmi,Waziri Mkuu Mh Pinda pamoja na wageni waalikwa mbalimbali kwenye hafla hiyo fupi ya uzinduzi wa kliniki ya Macho ya KCMC mapema leo asubuhi.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa SBL, Richard Wells baada ya Waziri Mkuu kuzindua Kliniki ya Macho iliyojengwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti mjini Moshi katika Hopitali ya KCMC Machi 25,2011.

No comments :

Post a Comment