Mshambuliaji wa timu ya Kundi B, Dafroza Steven, akijaribu kumtoka beki wa timu ya kundi D, Halima Faustine, wakati wa mchezo wa mashindano ya Umiseta yanayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa wasichana wa Shule za Sekondari za Wilaya ya Ilala. Michezo hiyo ni maalum kwa ajili ya kuteuwa wachezaji watakaounda kikosi cha timu ya Ilala itakayochuana na timu ya Ukonga katika michuano hiyo ya Umiseta.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment