Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 30, 2011

ILALA WAENDELEA NA MCHAKATO WA KUTEUA TIMU YA WILAYA KATIKA MASHINDANO YA UMISETA

Mshambuliaji wa timu ya Kundi B, Dafroza Steven, akijaribu kumtoka beki wa timu ya kundi D, Halima Faustine, wakati wa mchezo wa mashindano ya Umiseta yanayoendelea katika Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kwa wasichana wa Shule za Sekondari za Wilaya ya Ilala. Michezo hiyo ni maalum kwa ajili ya kuteuwa wachezaji watakaounda kikosi cha timu ya Ilala itakayochuana na timu ya Ukonga katika michuano hiyo ya Umiseta.

No comments :

Post a Comment