Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, March 22, 2011

SERIKALI:STUDIO YA JK NI KWA AJILI YA WASANII WALIOIOMBA


Mwakilishi wa Kampuni ya Fleva Unit ambayo ndiyo imekabidhiwa studio ya kurekodia muziki (Mastering Studio) na Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete, Said Fella (kushoto) akitoa ufafanuzi juu ya vifaa hivyo Jumatatu wiki hii kwenye Jukwaa la Sanaa BASATA. Katikati ni Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego na Mkurugenzi Msaidizi anayeshughulikia Sanaa Bi. Angela Ngowi
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi (Kulia) akihoji masuala mbalimbali kwenye Jukwaa la Sanaa BASATA wiki hii kuhusu Studio iliyotolewa kwa wasanii na Rais Jakaya Kikwete miaka mitatu iliyopita. Kulia kwake ni Mratibu wa Jukwaa hilo, Ruyembe C.Mulimba.

Katibu Mtendaji wa BASATA, Bw. Materego akisisitiza jambo kwenye Jukwaa hilo kuhusu Studio ya kurekodia Muziki (Mastering Studio) iliyotolewa kwa wasanii na Rais Jakaya Kikwete.


Mkurugenzi wa Idara ya Utamaduni kitengo cha Sanaa kutoka Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo, Bi. Ngowi akitoa tamko la Rais Jakaya Kikwete kuhusu Studio aliyoitoa kwa wasanii kwenye Jukwaa la Sanaa.Katikati ni Katibu Mtendaji wa BASATA Bw. Materego na Said Fella.

No comments :

Post a Comment