ofisa Mkuu wa Tekenorojia Kampuni ya Zantel Bw. Moncef Mettiji wa pili (kulia) akimuonesha moja ya mitambo ya mawasiliano ya Kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Bw. Charles Kitwanga alipotembelea kampuni hiyo Dar es salaam leo kuliani, Ofisa Mtendaji Mkuu Ali Bin Jarsh na kushoto ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa wa Zantel, Norman Moyo
TMA YAHIMIZWA KUENDELEA KUSHIRIKISHA WADAU ILI KUKABILIANA NA ATHARI ZA
MABADILIKO YA HALI YA HEWA
-
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha
wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya
hali ya...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment