Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, March 15, 2011

POULSEN ATAJA KIKOSI KIPYA KITAKACHOIVAA AFRIKA YA KATI MACHI 26


Kocha Mkuu wa timu ya Taifa, Jan Poulsen akizungumza na waandishi wa Habari kwenye Ofisi za Shirikisho la mpira wa miguu nchini,( TFF) leo mchana wakati wa kutangaza kikosi cha wachezaji wanaounda timu ya Taifa kwa ajili ya kucheza na timu ya Jamhuri ya Kati katika michuano ya kuwania kufuzu kucheza Fainali za mataifa ya Afrika mwaka 2012 zitakazofanyika Ikweta ya Guinea na Gagon. Kulia ni Ofisa Habari wa Shirkisho hilo, Boniface Wambura na kushoto ni mwakilishi wa wadhamini, kutoka Kampuni ya, Allan Chonjo.
GOALKEEPERS:-
1:- Shaban Kado-Mtibwa Sugar
2:-Juma Kaseja-Simba
3:- Shaaban Dihile-JKT Ruvu
DEFENDERS:-
1:- Shadrack Nsajigwa-Yanga
2:- Aggrey Morris-Azam
3:- Nadir Haroub ‘Cannavaro’-Yanga
4:- Stephano Mwasika-Yanga
5:-Haruna Shamte-Simba
6:- Juma Nyosso-Simba
7:- Idrissa Rajab-Sofapaka (Kenya)
MIDFIELDERS:-
1:- Nurdin Bakar-Yanga
2:- Shaban Nditi-Mtibwa Sugar
3:- Jabir Aziz-Azam Fc
4:- Henry Joseph-Kongsvnger IL, (Norway)
5:- Abdi Kassim-DT Long An, (Vientnam)
6:- Mwinyi Kazimoto-JKT Ruvu
ATTACKERS:-
1:- Dan Mrwanda-DT Long An, (Vientnam)
2:- Nizar Khalfan-Vancouver Whitecaps,(Canada)
3:- Mrisho Ngasa-Azam Fc
4:- Mohamed Banka-Simba
5:- Athuman Machupa-Vasalund IF,(Sweden)

No comments :

Post a Comment