Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 27, 2011

WAKAZI WA KOTA ZA BANDARI KARIAKOO WATAKA MKUCHIKA AJIHUZURU KWA KUMUONGOPEA RAIS



Mwanasheria wa Kampuni ya Kibasila Estates Public Limited Dkt. Sengondo Mvungi akifafanua jambo wakati wa mkutano wa dharula na wateja wake wa Kota za Bandari Gerezani Kariakoo Dar es salaam juzi baada ya taarifa iliyotolewa na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. George Mkuchika kwa rais Jakaya Kikwete alipotembelea ofisini kwake na kusema imeshinda Serekali na wananchi hao wamekata rufaa wakati kesi hiyo imeamliwa iongelewe nje ya mahakama kwanza

No comments :

Post a Comment