Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.
MIKAKATI YAWEKWA KWA WENYE UHUTAJI MAALUM KUKABILIANA NA MAAI
-
Na Mwandishi Wetu , Berlin , Ujerumani
Mfuko wa Dunia wa Watu wenye Wlemavu (Global Disability Fund – GDF)
umezikutanisha nchi zaidi ya 23 Mjini Berli...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment