Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 31, 2011

PAMBANO LA KIMATAIFA LA NGUMI KUPIGWA TANZANIA…!!!








Bondia wa kumi nchini Tanzania Fransic Cheka akizungumza wa waandisha wa habari wakati wa kutambulisha mpambano wake wa kimataifa utakao pigwa Dar es Salaam 1/5/2011 kushoto ni Mratibu wa pambano hilo Shomari Kimbau




Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.

No comments :

Post a Comment