Mkurugenzi wa Kampuni ya Airtel Bw. Sam Elangallooe (katikati) akimwonesha mitambo ya Kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Bw. Charles Kitwanga kushoto na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano, Eng. Clarence Ichwekeleza walipotembelea Kampuni hiyo Dar es salaam
Wednesday, March 30, 2011
NAIBU WAZIRI WA MAWASILIANO SAYANSI YA TEKNOLOJIA ATEMBELEA KAMPUNI YA AIRTEL
Mkurugenzi wa Kampuni ya Airtel Bw. Sam Elangallooe (katikati) akimwonesha mitambo ya Kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Bw. Charles Kitwanga kushoto na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano, Eng. Clarence Ichwekeleza walipotembelea Kampuni hiyo Dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
No comments :
Post a Comment