Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, March 19, 2011

MSONDO SIKINDE ZA DHIHIRISHA KUWA NI MIAMBA YA MUZIKI WA DANSI NCHINI

Mpiga gita la Solo Abdul Ridhiwani 'Pangamawe wa Msondo akiwapagawisha mashabiki wakati wa mpambano wao na Sikinde jana
Mashabiki wa Sikinde wakilisakata lumba
JUma Katundu akiwa sambamba na Nacho Mpendu Mama Nzawisa
Mashabiki wa Msondo wakifuraia magitaa yalivyokuwa yakikungutwa
Hasani Moshi 'Tx Jr' kushoto na Shabani Dede 'Super Motisha'
Waimbaji wa Msondo wakilishambulia jukwaa wakati wa mpambano wao uliofanyika Dar es salaam jana
Wanamziki wa bendi ya Sikinde wakilishambulia jukwaa kulia ni Husein Jumbe, Hassani KUnyata na Abdalah Hemba
Hassani Kunyata na Husein Jumbe wakiimba
Abdalah Hemba akimba sambamba na kucheza na mnenguaji wa bendi ya Sikinde

No comments :

Post a Comment