Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, March 25, 2011

WAISLAM WAFANYA MAANDAMANO YA KUIPINGA MAREKANI NA WASHIRIKA WAKE KUISHAMBULIA LIBYA


Isharaa ya Umoja ya kuilinda Nchi ya Libya ikionekana na sura ya Rais Mo'ammar Al-Gaddafi
Baadhi ya Waislam wakiwa katika viwanja vya biafra Kinondoni Dar ES salaam jana kuipinga Marekani na washirika wake kuishambulia Libya
Baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu wakiandamana kutoka Msikiti wa Mtambani, Kinondoni Dar es Salaam jana kwenda viwanja vya Biafra ambako kulikuwa na mkutano wa kulaani mashambulizi ya majeshi ya Marekani na washirika wake dhidi ya Libya

No comments :

Post a Comment