Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 2, 2011

VIDEO YA SUPER D BOXING COACH KUINGIA MTAANI

BONDIA wa Zamani na KochaKAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH wa Ngumi wa Klabu ya ngumi ya Ashanti, Rajabu Mhamila'Super D' yupo mbioni kutoa Video inayozungumzia maisha yake ya mchezo huo.Akizungumza Dar es Salaam jana, Super D alisema video hiyo itakuwa sokoni mudawowote kuanzia sasa ikizungumzia maisha yake tangu alipoanza kucheza mchezo huomwaka 1984 hadi 2010 sasa.Alisema Video hiyo itaonesha mapambano mbalimbali aliyocheza na dhidi yamabondia Mbwana Matumla, Rashidi Ali na Ajibu Salumu.Alisema lengo la kuandaa video ni kutaka kutimiza malengo yake ya kuendelezamchezo wa ngumi kwa kuwapatia vijana nafasi ya kujifunza kupitia kwake.Alisema kutokana na nchi ya Tanzania kuwana vipaji vingi atashindwa kuwafikiakila mmoja wao na badala yake amewapa fursa ya kujifunza kwa kuangalia video.Alisema Video katika kuhaikisha Video hiyo inafanya vizuri sokoni ameongezeavionjo vingine kutoka kwa mabondia maarufu duniani kama Mike Tyson, Michael Mo,Junior Myweather, Mohamed Ally, Man Paqyao na Joe Fleizer

..KANUMBA AINGIA NA .''''THE SHOCK''

THE GREAT KAZINI NA .....
Kama alivyojitambulisha mwishoni mwa mwaka jana Steven Kanumba 'kanumba' kwa kusema hapo mwanzo kuwa yeye si mwingi wa manene bali ni kazi tu kazi tu,ndio hivyo amenza kushoot movie yake mpya mara baada ya kumaliza ziara yake HOLLYWOOD(USA),Jina la movie ni ''THE SHOCK'' Katika movie hii aeendeleza na utaratibu wake wa kutambulisha na kuibua vipaji vipya kabisa ambavyo havijawai kuonekana katika movie yoyote kama ilivyokuwa mwaka jana alipomtambulisha JENIFER,PATRICK NA PATCHO sasa katika ''THE SHOCK''..anawaleta kwenu SHAZ SADRY kwa mwaka huu ambaye ndiye mhusika mkuu katika movie hii na kwa mwaka huu mtamuona sana katika movie zangu kama msanii mpya na mwenye viwango vyote vya uigizaji bora katika filamu. alisema kanumba apapo filamu hiyo imepewa baraka zote na Kampuni ya kusambaza ya Steps Entetainment ya jijini Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment