Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 13, 2011

CHIKAWE AKABIDHIWA MSAADA WA HOSPITALI YA WILAYA YA NACHINGWEA



Mbunge wa Jimbo la Nachingwea mkoa,Lindi Bw.Mathias Chikawe wa pili (kushoto) ambaye pia ni waziri wa nchi ofisi ya Rais -utawala bora akipokea msaada wa baiskeli ya walemavu kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya UNDI inayojishughulisha na maswala ya ujenzi, Bw.Philip Makota wa kwanza kulia ikiwa ni sehemu ya vifaa vya hospitalini vyenye thamani ya shilingi milioni 13 kwa ajili ya hospitali ya Wilaya ya Nachingwea,Wengine pichani wakurugenzi wengine wa UNDI Dkt.Saanane Bonaventure katikati na Bakari Shekimweri wa kwanza kushoto hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani humo.(Picha na Mpigapicha Wetu)

No comments :

Post a Comment