Mbunge wa Jimbo la Nachingwea mkoa,Lindi Bw.Mathias Chikawe wa pili (kushoto) ambaye pia ni waziri wa nchi ofisi ya Rais -utawala bora akipokea msaada wa baiskeli ya walemavu kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya UNDI inayojishughulisha na maswala ya ujenzi, Bw.Philip Makota wa kwanza kulia ikiwa ni sehemu ya vifaa vya hospitalini vyenye thamani ya shilingi milioni 13 kwa ajili ya hospitali ya Wilaya ya Nachingwea,Wengine pichani wakurugenzi wengine wa UNDI Dkt.Saanane Bonaventure katikati na Bakari Shekimweri wa kwanza kushoto hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani humo.(Picha na Mpigapicha Wetu)
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment