Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 27, 2011

MATUKIO MBALIMBALI YA TUZO ZA KILI


Mchezaji wa timu ya Simba Juma Kaseja Akimkabidhi tuzo ya nyimbo bora ya mwaka kwa msanii Mzee Yusufu kulia na Shedrak Msajigwa wa Yanga
Wasanii wa Muziki wa kizazi kipya wakiimba wakati wa onesho la tuzo za muziki nchini zilizoandaliwa na Kampuni ya bia nchini 'TBL' kupitia bia yake ya Kilimanjaro kutoka (kushoto) ni Ali Kiba, Banana Zoro na Nassib Abdul ‘Diamond’
Mashabiki Wakishangilia tuzo hizo
Mussa Hassani Mgosi wa Simba kushoto na Jerson Tegete wa Yanga kulia wakimkabidhi tuzo ya video bora ya mwaka msanii Khalfan Ilunga CPWA
Saidi Mabera akishangilia tuzo hiyo
Saidi Mabera akikunguta gita la Solo wakati wa tuzo hizo
Msanii Cpwaa akitoa shukrani zake za dhati kwa mashabiki wake walioweza kumpigia kura mpaka kuweza kupata tuzo ya Video Bora ya Muziki ya Mwaka.Cpwaa pia amechukua tuzo nyingine ya Ragga/Dancehall.
Tuzo ya Wimbo Bora wa Reggae ilienda kwa Hardmad.
Mbungu wa Viti Maalum wa CCM,Mh. Vicky Kamata akimkabidhi tuzo ya Wimbo Bora wa R&B msanii Ben Poul.
Msanii wa vichekesho toka kundi la Orijinal Comedy,ambaye pia ni Mwanamuziki akitoa shukrani zake kwa mashabiki wake waliomuwezesha kupata tuzo ya Wimbo Bora wa Asili wa Tanzania.

No comments :

Post a Comment