Bingwa wa Afrika mashariki na kati Mada Maugo (King Maugo Junior) kuondoka kesho kwenda Mjini Miunic nchini Ujerumani kupambana na Nocovic Radino pambano litakalofanyika Decemba 24 mwaka huu nchini humo.
Maugo amesema amejiandaa vizuri na anaelewa alichofundishwa na Kocha wake Mkenya Joseph Milumo kutoka nchini.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment