Mashabiki wameobwa kujitokeza kwa wingi katika mashindano ya mchezo wa tenisi kwa watoto yanayotarajia kuanza Decemba 26 mwaka huu katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam.
Kocha wa mchezo huo Ismail Omary amesema kuwa maandalizi ya mashindano hayo na kinachosubiriwa ni kipute kianze.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment