
Mkuchika ameyasema hayo wakati wa mapokezi ya kifimbo cha malkia wa Pili wa Uingereza.
Mkuchika amesema kutoakana na heshima kubwa iliyoipata Tanzania kwa kukimbiza kifimbo hicho kwa misimu minne mfululizo na hivyo ana iamani kwamba itakuwa changamoto kwa wanamichezo na kuhakikisha wanafanya vizuri katika michuano ijayo.
No comments :
Post a Comment