Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, George Mkuchika (kulia), akimkabidhi bendera ya taifa nahodha wa timu ya taifa ya netiboli (Taifa Queens), Jackline Sikozi, ambayo inatarajiwa kwenda kushiriki michuano ya kimataifa itakayozishirikisha nchi sita toka Desemba 6 hadi 12 mwaka huu huko Singapore.
WHERE HUMANITY BEGINS ,WONDER ENDURES
-
Some places are admired for their beauty. Others are remembered for the
stories they hold. Ngorongoro is both. Addressing the 48th Session of the
UNES...
1 day ago
No comments :
Post a Comment