Wachezaji wa African Lyon wakifanya mazoezi katika uwanja wa Uhuru.
Timu ya African Lyon inatarajia kuwapumzisha wachezejani wake kwa siku tatu kuanzia Decemba 23 hadi 26 kupisha Sikukuu ya X-MASS kabla ya kuendelea na kambi hiyo maeneo ya Bamba Beach Kigamboni.
Afisa Habari wa Timu hiyo Kambi Mbwana amesema dhumuni la kuwapa mapumziko wachezaji wao ni kuwapa fursa ya kukaa na familia zao kwa kipindi kifupi cha Sikukuu.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment