Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 14, 2011

CLOUD AIBUKA NA FILAMU YA BASILISA


Msanii wa Bongo Move Issa Mussa 'Cloud' ametamba kutikisa anga la filamu mchini baada ya kuwa mbioni kukamilisha kazi yake ya filamu ya Basilisa itakatotoka mwanzoni mwa mwezi ujao ambapo amewashilikisha wasanii mbalimbali akiwemo kama Wema Sepetu, Selemani Barafu, Adamu Kuambiana ambapo anamini filamu hiyo itakuja kutikisa Anga baada ya kucheza maeneo tofauti tofauti ikiwemo kuwa chizi,pamoja na kuwa mtanashati katika filamu hiyo hiyo filamu hiyo itakayosambazwa na Kampuni ya Steps Entatainment itakuwa ni muendelezo wa filamu zake zilizowai kutamba ikiwemo Sabrina, Ukiwa ,Pigo na Suria na sasa Basilisa ambapo amewaasa na kuikumbusha jamii kuto dharau binadamu wa aina yoyoto wakiwemo machizi wengine ni viumbe vinavyoendana sambamba na majini watu hivyo kuto wadharau ata kidogo

No comments :

Post a Comment