Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 10, 2011

TIMU YA TAIFA YA VIJANA UNDER 23 YAWATOA WAKAMERUNI KWA MIKWAJU 4-3



Kiungo wa Timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania, Kigi Makasi, akibinjuka sarakasi kushangilia bao la kwanza aliloifungia timu yke dhidi Cameroon, wakati mchezo wa kuwania kufuzu kucheza mashindano ya Olympic yanayotarajia kufanyika mwakani. Mchezo huo umemalizika jioni hii kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam, ambapo Vijana wa Tanzania wameibuka kidedea kwa kuwatoa wakameruni kwa mikwaju ya penati, wakameruni wakikosa penati 2 na Viaja wakipata penati 4 nahivyo kwa ushindi huo timu hiyo ya Kameruni imetolewa katika michuano hiyo. Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania, Mbwana Samatta (kulia) akimfinya beki wa Cameroon, Tiko Messina, wakati wa mchezo wa kuwania kucheza mashindano ya Olympic yanayotarajia kufanyika mwakani.
Thomas Ulimwengu, akimtoka beki wa Cameroon.
Beki wa timu ya Taifa ya Vijana ya Tanzania, David Charles (kulia) akimiliki mpira, (kushoto) ni Tawamba Kana wa Cameroon. http://sufianimafoto.blogspot.com/

No comments :

Post a Comment