Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 10, 2011

VODACOM YATOA MSAADA WA MADAWATI 100 KWA SHULE YA MSINGI DARAJANI ZANZIBAR


Mkurugenzi wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba (wa pili kushoto) akipeana mkono na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Zanzibar, Mwanaidi Abdallah, wakati wa makabidhiano ya madawati 100 yenye thamani ya sh. milioni 10 kutoka Vodacom Foundation kwa ajili ya shule ya msingi ya Darajani mjini Unguja leo.Kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo, Kassim Mvita.Picha na Martin Kabemba. Wanafunzi wa shule ya msingi ya Darajani mjini Zanzibar, Zainabu Noor (kulia) na Suhaila Suleiman, wakisoma utenzi wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati hayo

No comments :

Post a Comment