Mkurugenzi wa Vodacom Foundation, Mwamvita Makamba (wa pili kushoto) akipeana mkono na Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu Zanzibar, Mwanaidi Abdallah, wakati wa makabidhiano ya madawati 100 yenye thamani ya sh. milioni 10 kutoka Vodacom Foundation kwa ajili ya shule ya msingi ya Darajani mjini Unguja leo.Kushoto ni Mwenyekiti wa kamati ya shule hiyo, Kassim Mvita.Picha na Martin Kabemba. Wanafunzi wa shule ya msingi ya Darajani mjini Zanzibar, Zainabu Noor (kulia) na Suhaila Suleiman, wakisoma utenzi wakati wa hafla fupi ya kukabidhi madawati hayo
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment