Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, April 30, 2011

HAPPYBIRTHDAY PRINCESS ASIA MAHMOUD ZUBEIR


Pichani ni Mtoto Princess Asia 'Checha' leo anatimiza miaka minne ya kuzaliwa. Anawasalimu mama yake Dina Ismail mwendeshaji wa Blog ya Mamapipiro.blogspot.com, Baba yake Prince Mahmoud Zubeir.Pia anamsalimu Dada yake Precious na mdogo wake Prince Akbar wote wakiwa Kinondoni Dar es Salaam. Babu na Bibi Checha wanaoishi Tabata, mwisho awawasalimu Aunt Ankal Abbas,Aunt zake Amina na Miski.Mwendeshaji wa Blogu hii nakupongeza Baby Checha pia nakuombe kwa mungu akujaalie umri mkubwa na undelee kuwa mtoto mtiifu kwa wazazi wakubwa na wadogo pia endelea na moyo huohuo wa kupenda shule

No comments :

Post a Comment