Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Teddy Mapunda, akitangaza udhamini wa SBL wa Sh. miliono 80, kwa Chama Cha Waandishi wa Habari za Michezo (TASWA) kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za mwanamichezo bora wa mwaka, Dar es Salaam. Akizungumzia sherehe hiyo, Mwenyekiti wa TASWA, Juma Pinto (wapili kushoto) alisema zitafanyika Mei 6, mwaka huu katika jijini, na mshindi wa kwanza atajitwalia gari lenye thamani ya sh. milioni 13. Kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa TASWA, Amir Mhando, Mjumbe wa TASWA, Masoud Sanani na kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa TASWA, Maulid Kitenge. http://richard-mwaikenda.blogspot.com/
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment