Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzani (TRAWU) Bakari Kiswara (kulia) na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi 'TUCTA' Bw.Nicholaus Mgaya wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa marehemu aliyekua Katibu Mkuu wa (TRAWU) Bw. Silvester Rwegasira kabla ya kumuaga TAZARA Dar es salaam
NGORONGORO YANG'ARA TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR
-
Wazanzibar husema, Zanzibar ni njema atakaye aje, Mamlaka ya Hifadhi ya
eneo la Ngorongoro ni miongoni mwa Taasisi zilizoshiriki tamasha la
Kizimkazi ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment