Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Reli Tanzani (TRAWU) Bakari Kiswara (kulia) na Katibu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi 'TUCTA' Bw.Nicholaus Mgaya wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa marehemu aliyekua Katibu Mkuu wa (TRAWU) Bw. Silvester Rwegasira kabla ya kumuaga TAZARA Dar es salaam
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
4 days ago
No comments :
Post a Comment