Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 12, 2011

EXIM BANK YAONGEZA PATO



BENKI ya Exim Tanzania imeongeza faida ya pato lake kufikia sh. bilioni 16.6/-hadi mwishoni mwa mwaka jana ikiwa ni ongezeko la 66.7% ukilinganisha na pato la sh. bilioni 9.99 la mwaka wa fedha 2009.


Mafanikio hayo yanaifanya benki hiyo kuwa kinara wa ongezeko la faida katikasekta ya kibenki nchini inayoonyesha kukua kwa kasi katika ufanisi na ubunifukatika utendaji wake.Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa na benki hiyo jana nakusainiwa na Meneja Mkuu Dinesh Arora, hatua hiyo ya maendeleo ya kasi inatokanana ushirikiano mzuri kiutendaji uliojengekana miongoni mwa wadau wa benki hiyo.


“Tumeongeza pato letu kwa 66.7% na kufika sh. bilioni 16.6 hadi ilipofikiamwishoni mwa mwaka jana kutoka sh. bilioni 9.99 za mwaka 2009, hivyo ni hatua yakupongezwa”, ilisomeka sehemu ya taarifa hiyo.


Taarifa hiyo inaeleza faida ya uendeshaji wa benki kwa mwaka wa fedha 2010imeongezeka kwa asilimia 60% na kufikia shilingi 23.22 bilioni dhidi ya shilingibilioni 13.87 ukitoa pato la ziada la shilingi bilioni 4 lililopatikana mwishomwa mwaka 2009.Inafafanua kuwa pato la benki kwa ujumla limeongezeka kutoka sh.bilioni 127 nakufikia sh. bilioni 710 ilipofika mwishoni mwa Desemba 2010 na kuifanya Benki yaExim kuwa miongoni mwa benki 6 kubwa nchini kuwa na rekodi nzuri katika pato lajumla.Katika gawio la ‘gross NPA ratio’ benki ya exim imeshuka kufikia 4.1% ilipofikaDesemba 2010 kutoka 4.3% ya Desemba 2009.


Katika kuendelea mbele, Benki ya Eximimeweka kipaumbele kwenye uongozi wa NPA na kufanya tathimini ya kila marakatika kuhakikisha kitengo hicho kinapanda kiubora.“Tumeonekana kushuka kidogo katika sehemu ya NPA lakini benki inafanya jitihadaza makusudi kuhakikisha kuwa mikakati mipya ya kusaidia kuinuka kwa kitengohicho inawekwa”, inasisitiza sehemu ya taarifa hiyo.Benki ya Exim Tanzania ina matawi 22 katika sehemu mbalimbali za nchi ikiwa nipamoja na kuwa na uendeshaji wa kibenki katika Visiwa vya Comoro zinazoongozwana huduma ya ATM ambapo Tanzania zipo 45 na 25 nje ya Tanzania. Katika kuhakikisha benki hiyo inaongeza ufanisi wake kiutendaji, mwaka janaimeajiri wafanyakazi wengine 150 wakiwemo wataalamu watatu kutoka nje ya nchiikiwa ni kuendelea kuonyesha mfano kwa kuwavutia watanzania waishio nje, kurudinyumbani na kufanyakazi.

No comments :

Post a Comment