Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan
BONDIA MLUNDWA NA MBISE WAMLILIA MSOMBA
-
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam na Kibaha Mkoa wa Pwani wamejitokeza kwa
wingi katika mazishi ya aliyekua bondia mkongwe Lucas Msomba.
Akizungumza ka...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment