Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan
EWURA KINARA UHUSIANO MWEMA NA VYOMBO VYA HABARI
-
Pichani, Bw Wilfred Mwakalosi (kushoto), Ofisa Mkuu wa Mawasiliano na
Uhusiano EWURA akipokea tuzo kutoka kwa Bw. Bakari Machumu, moja ya majaji
wa tuzo...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment