Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan
BALOZI MATINYI AWASILISHA NAKALA ZA HATI YA UTAMBULISHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwasilisha
nakala za hati za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe.
Ahmed At...
1 day ago
No comments :
Post a Comment