Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan
GONGORO AMECHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE WA JIMBO LA KIBAHA MJINI
-
Mwenyekiti wa Stoma Care Tanzania Khalid Gongoro amechukua fomu ya
kuwania Ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini leo tarehe Mosi Julai 2025 .
Gongoro amese...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment