Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan
NGORONGORO YATANGAZA FURSA MPYA KWA WAONGOZA WATALII (THE BIRTH OF WONDERS
PHOTO COMPETITION)
-
Mabadiliko makubwa katika ushirikishwaji wadau wa sekta ya utalii
yameibuliwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ikianza mwanzo wa safari
mpya ya simu...
20 hours ago
No comments :
Post a Comment