Meneja Masoko wa Kampuni ya Coca-Cola Tanzania, Christina Maina (katikati), akimkabidhi Luninga aina ya Soni, Mwandishi wa habari wa Kampuni ya Guardian, Renatha Msungu, aliyoshinda katika mchezo wa bahati nasibu ya papo kwa papo, iliyochezwa na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali kwenye uzinduzi wa kampeni kubwa ya masoko inayoitwa 'Open Happiness' uliofanyika Dar es Salaam leo. Kushoto ni Meneja Mkazi wa Kampuni hiyo, Dimeji Olaniyan
MRADI WA TAKA SIFURI WAZINDULIWA DAR
-
Taasisi ya Mazingira Plus wamejipanga wanatunza mazingira kwenye maeneo
ya Shule, na Taasisi kwa kuzindua mradi umaofahamika kwa jina la Taka
Sifuri.
...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment