Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, April 22, 2011

NBC YATOA MILIONI TANO KWA MCT



Mkuu wa Masoko, Mawasiliano wa Benki ya NBC, Bi. Mwinda
Kiula-Mfugale (kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shs milioni 5 kwa
Meneja wa Programs wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Pili Mtambalike
ikiwa ni kama zawadi kwa mshindi wa kitengo cha Mwandishi Bora wa
Habari za Biashara na Uchumi katika Tuzo za Waandishi Bora
zinazoandaliwa na MCT. Hafla ya utoaji tuzo hizo zitafanyika jijini
Dar es Salaam Mei 3 mwaka huu. Makabidhiano yalifanyika jijini Dar es
Salaam jana. Katikati ni Ofisa Mwandamizi wa Program wa MCT Alfred
Mbogora na Mshauri wa Mawasiliano wa NBC, Robi Matiko-Simba.
Meneja wa Programs wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) Pili
Mtambalike (kushoto) akizungumza baada ya kupokea mfano wa hundi ya
shs milioni 5 ikiwa ni kama zawadi kwa mshindi wa kitengo cha
Mwandishi Bora wa Habari za Biashara na Uchumi katika Tuzo za
Waandishi Bora zinazoandaliwa na MCT na Mkuu wa Masoko, Mawasiliano
wa Benki ya NBC, Bi. Mwinda Kiula-Mfugale (kulia). Hafla ya utoaji
tuzo hizo zitafanyika jijini Dar es Salaam Mei 3 mwaka huu.
Makabidhiano yalifanyika jijini Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment