Katibu Mkuu wa African Union People's Empowerment Fondition, Bw.Mgesi Juma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana, kuusu vifo vya akina mama wajawazito kuwa vinaweza fasiliwa kuwa ni vifo vitokanavyo na ujauzito. kulia ni Ofisa Habari wa Tume ya Kikristu ya Huduma za Jamii Bw.Renatusi Sona
MRADI WA TAKA SIFURI WAZINDULIWA DAR
-
Taasisi ya Mazingira Plus wamejipanga wanatunza mazingira kwenye maeneo
ya Shule, na Taasisi kwa kuzindua mradi umaofahamika kwa jina la Taka
Sifuri.
...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment