Katibu Mkuu wa African Union People's Empowerment Fondition, Bw.Mgesi Juma (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana, kuusu vifo vya akina mama wajawazito kuwa vinaweza fasiliwa kuwa ni vifo vitokanavyo na ujauzito. kulia ni Ofisa Habari wa Tume ya Kikristu ya Huduma za Jamii Bw.Renatusi Sona
GONGORO AMECHUKUA FOMU YA KUWANIA UBUNGE WA JIMBO LA KIBAHA MJINI
-
Mwenyekiti wa Stoma Care Tanzania Khalid Gongoro amechukua fomu ya
kuwania Ubunge wa Jimbo la Kibaha Mjini leo tarehe Mosi Julai 2025 .
Gongoro amese...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment