Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI WIZARA YA FEDHA ATOA RAI UTOAJI
WA TAARIFA SAHIHI NA KWA WAKATI
-
Mwenyekiti wa Kamati Mawasiliano ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha
Mawasiliano Serikalini Wizara ya Fedha, Bw. Benny Mwaipaja amewataka
wajumbe wa Ka...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment