Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
KOM FOOD PRODUCTS LTD MRADI ULIWEKEZA BIL. 100 KAHAMA
-
Kiwanda cha kuzalisha mchele kilichopo Wilaya ya Kahama, Mkoa wa Shinyanga,
kinachomilikiwa na mwekezaji Mtanzania aliyewekeza zaidi ya shilingi
bilioni...
33 minutes ago
No comments :
Post a Comment