Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment