Katika
harakati za kumpata mrembo wa taifa
atakayewakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya dunia, baadhi ya
vitongoji
vya DSM vinaendelea na maandalizi ya kupata warembo wake ambapo
vitongozi wa
SINZA na KIGAMBONI vitapata warembo wake juni SABA mwaka huu Somoe
Ng'itu maribu wa Miss Kigamboni amsema shindano hilo litapambwa na bendi
ya FC Academia litafanyika Kigamboni
NIMERIDHISHWA NA MAANDALIZI KUELEKEA KUWASHWA KWA MWENGE WA UHURU - MAJALIWA
-
WaziriMkuuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi
kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka katika
Mikoa 31...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment