Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 29, 2013

WALTER AISAMBAZA 'DORODORO'



Na Elizabeth John
BAADA ya kutamba na ngoma yake ya ‘Siachi’, msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Walter Chilambo ameachia kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Dorodoro’.

Akizungumza na Habari Mseto jijini Dar es Salaam, Walter alisema kazi hiyo kaisambaza hivi karibuni na anaomba mashabiki wake waipokee kwa mikono miwili.

“Naimani kazi hii itafanya vizuri katika tasnia hiyo kwani mashairi yaliyopo ndani yake yamesimama na yanaujumbe kwa jamii,” alisema msanii huyo ambaye ni mshindi wa Bongo Star Search mwaka jana.

Akizungumzia uandaaji wa video ya kazi hiyo pamoja na ile ya ‘Siachi’ kwamb ayupo katika hatua za mwisho na anawaomba mashabiki wake wasichoke kumsubiri.


“Nitatangulia kutoa video ya ‘Siachi’ naimani itakua nzuri kutokan ana maandalizi ya muda mrefu, najua mashabiki wanaisubiri kwa hamu ila nawahaidi ipo karibuni wataiona,” alisema

No comments :

Post a Comment