Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, June 15, 2013

KING CLASS MAWE VS BAUNSA WATUNISHIANA MISURI




Bondia Parick Kavako 'Baunsa' wa Morogogo kushoto akitunishiana misuri na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kupima uzito Dar es salaam leo kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katikas ukumbi wa Panandi Panandi Ilala Bungoni picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Mariam Abdallah kushoto na Lulu Kayage wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha za mpambano wao utakaofanyika jumapili ya june 16 katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala bungoni Dasr es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Bondia Patrick Kavako 'Baunsa' wa morogoro kushoto na Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  wakitunisha misuli mbele ya kamera baada ya kupima uzito wao kwa ajili ya mpambano wao wa jumapili june 16  katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala Bungoni Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mabondia Mariam Abdallah kushoto na Lulu Kayage wakiwa wamepozi kwa ajili ya picha za mpambano wao utakaofanyika jumapili ya june 16 katika ukumbi wa Panandi panandi Ilala bungoni Dasr es salaam picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment