Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
MHE.ASHA BARAKA,ALLY CHOKI,MANGUNGU WASIKITISHWA NA KIFO CHA EMMANUEL MACHA
-
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Asha Baraka jana alikua miongoni mwa watu mashuhuri waliojitokeza kwenye
ma...
4 days ago
No comments :
Post a Comment