Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
SERIKALI ITAFANYIA KAZI MAAZIMIO YA KONGAMANO LA UHURU WA VYOMBO VYA
HABARI- MSIGWA
-
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema itahakikisha inafanyia kazi mapendekezo yote
yatakayotolewa kwenye maazimio ya pamoja ya Waandishi wa Habari baada y...
1 day ago
No comments :
Post a Comment