Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
WACHIMBAJI WA MADINI WATAKIWA KUZINGATIA USALAMA MIGODINI
-
Tume ya Madini imewataka wachimbaji wadogo wa madini kuhakikisha
wanazingatia sheria, kanuni na miongozo ya usalama inayotolewa na wataalam
wa sekta hiyo...
13 hours ago
No comments :
Post a Comment