Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
UWT KIBAHA MJI YAFANYA KWELI YAADHIMISHA MIAKA 49 YA CCM KWA KUPANDA MITI
-
Jumuiya ya umoja wa wanawake Wilaya ya Kibaha mjini (UWT) katika kusherekea
maadhimisho ya miaka 49 ya kuzaliwa kwa chama cha mapinduzi (CCM) kimeamua ...
12 hours ago
No comments :
Post a Comment