Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
ACP TWAHA JUMA RPC MPYA TABORA
-
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camilius Wambura amemteua Kamishna
Msaidizi wa Polisi (ACP) Twaha Juma Lulengelule (Pichani)kuwa Kamanda mpya
wa Poli...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment