Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi.
Mercy Silla (kulia) akizungumza na Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA) baada ya ujumbe huo kumtaarifu kuhusu tamasha la
Wasanii litakalofanyika Juni 29, 2013, Mkuranga.

Mwenyekiti wa Mtandao wa Wasanii
Tanzania (SHIWATA), Caasim Taalib akikaribishwa ofisini na Ofisa
Utamaduni Utamaduni wa Wilaya ya Mkuranga, Bw. Lucas Kamwavah
alipokwenda kuomba kibali cha Tamasha la Mastaa Chipukizi
litakalofanyika kijiji cha wasanii Mwanzega, Mkuranga Juni 29 mwaka
huu.
WAUMINI TAG GOBA WATAKIWA KUISHI MAISHA YASIYYO NA HOFU
-
Mchungaji Mteule wa Kanisa la Kingdom Impact Christian Centre(TAG) Goba,
Dkt. Jonathan Chales Ndanshau amewataka waumini wa Kanisa hilo waishi
katika mai...
1 week ago
No comments :
Post a Comment