Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Tuesday, June 11, 2013
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII BALOZI KHAMIS KAGASHEKI AFUNGUA MKUTANO WA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI NA TANAPA MKOANI IRINGA
Waziri
wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akifungua mkutano wa
Shirika la Hifadhi za Mbuga za Taifa TANAPA na wahariri wa vyombo vya
habari kuhusu Wajibu wa vyombo vya habari katika kukabiliana na Ujangili
katika hifadhi za taifa unaofanyika kwenye ukumbi wa Siasa na Kilimo
Ofisi za Manispaa ya Iringa, Balozi Kagasheki amewaasa wahariri wa
vyombo vya habari kujadiliana kwa undani suala zima la kukomesha
ujangili na jukumu la wanahabari katika mkakati huo wakishirikiana na
serikali kwa ujumla kupitia taasisi za ulinzi katika mbuga za wanyama,
amewataka wahariri kuwa wabunifu kwa kuandika makala na habari za
kiuchunguzi ili kuibua mbinu hizo chafu na majangili ili kutokomeza
ujangili huo na kupata ufumbuzi kamili wa changamoto hizo za ujangili,
ameongeza kwamba wizara yake iko tayari kupokea maoni mbalimbali kutoka
kwa wahariri na wadau mbalimbali yatakayofanikisha kupata ufumbuzi wa
kutokomeza kabisa ujangili katika mbuga na pia amejiwekea utaratibu wa
kukutana na waandishi wa habari kila mwezi atakutana na vyombo vya
habari ili kuzungumza na wanahabari kuhusu masuala mbalimbali ya wizara
hiyo.Wahariri mbalimbali wakimsikiliza Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki wakati akifungua mkutano huo.Wahariri
wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa makini katika kusikiliza wakati
Waziri Balozi Khamis Kagasheki akizungumza katika mkutano huo.Balozi Khamis Kagasheki akisisitiza jambo wakati akifungua mkutano huo kwenye ukumbi wa Siasa na Kilimo mjini IringaMkuu
wa mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma akizungumza katika mkutano
huo wakati akimkaribisha Waziri wa Malisiali na Utalii Mh. Balozi Khamis
Kagasheki.
Waziri wa Malisili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki akiongozana na
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Christine Ishengoma wakati akiwasili katika
ukumbi wa mikutano wa Siasa na Kilimo mkoani Iringa ambako mkutano wa
Wahariri wa vyombo vya habari na Shirika la Hifadhi za mbuga za Taifa
TANAPA unafanyika. Mwenyekiti
wa Kamati ya kudumu ya bunge ya Ardhi Mazingira Ndugu James Lembeli
akiingia kwenye ukumbi wa mkutano huku akiwa ameongozana na Mkurugenzi
wa TANAPA Ndugu Allan Kijazi kushoto.Waziri
wa Maliasili na utalii Balozi Khamis Kagasheki wa pili kutoka kulia
akiwa katika mkutano huo kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi
na Mazingira Ndugu James Lembeli na kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa
TANAPA Ndugu Allan Kijazi na Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr. Christine
Ishengoma.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment