Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni, wakifanya usafi leo katika taa za kuongozea magari Ubungo, ikiwa ni maandalizi ya ujio wa Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili leo nchini kwa ziara ya siku mbili, ambapo pia atatembelea mitambo ya umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
MHE.ASHA BARAKA,ALLY CHOKI,MANGUNGU WASIKITISHWA NA KIFO CHA EMMANUEL MACHA
-
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Asha Baraka jana alikua miongoni mwa watu mashuhuri waliojitokeza kwenye
ma...
5 days ago
No comments :
Post a Comment