Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 14, 2013

BENKI YA CRDB YAFUTURISHA WATEJA WAKE MJINI ZANZIBAR





Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB ya Benki, TullyEsther Mwambapa akizungumza katika hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake.
 Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Zanzibar Machano Othman Said akizungumza wakati wa hafla ya kufuturisha wateja wa benki ya CRDB iliyofanyika mjini Zanzibar.
 Wadau mbalimbali wakipata futari.
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB wakijumuika pamoja.
Baadhi ya wateja wa benki ya CRDB katika hafla ya kufuturisha.
Baadhi ya wateja wa benki ya CRDB wakiwa katika hafla hiyo.
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Zanzibar Machano Othman Said akizungumza katika hafla hiyo.
Meneja wa benki ya CRDB tawi la zanzibar, Nassor Uzigo akipata Chai.
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB wakishiriki katika hafla ya kufuturisha iliyofanyika mjini Zanzibar.
 Wafanyakazi wa benki ya CRDB pamoja na wateja wakipata futari.
 Baadhi ya wateja wa benki ya CRDBwakipata futari.
Wadau wakipata futari.
 Meneja Mahusiano wa Benki  ya CRDB, Godwin Semunyu akigawa futari kwa wateja wa benki hiyo katika hafla ya kufuturisha iliyofanyika katika hoteli ya Zanzibar Beach Resort
Wateja wa benki ya CRDB wakipata futari.
 Wadau mbalimbali wakipata futari.
 Meneja wa benki ya CRDB tawi la Zanzibar, Nassor Uzigo lililopo eneo la Mkunazini mjni Zanzibar akipata chai wakati wa hafla ya kufuturisha  iliyoa andaliwa na ben
Sheikh akiomba duah.
Waziri asiyekuwa na Wizara Maalum Zanzibar Machano Othman Said akishiriki katika uomba dua wakati wa hafla hiyo.
Picha ya pamoja.
Wafanyakazi wa benki ya CRDB pamoja na wadau wa benki hiyo wakiwa katika picha ya pamoja na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwaza wa Rais Fatma Abdull Habib Fereji (wa tatu kulia) 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwaza wa Rais Fatma Abdull Habib Fereji (kulia) akizungumza mara baada ya hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki ya CRDB mjini Zanzibar.
Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja wa CRDB ya Benki, TullyEsther Mwambapa (wa pili kushoto) akimsikiliza kwa makini Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwaza wa Rais Fatma Abdull Habib Fereji wakati wa hafla ya kufuturisha iliyoandaliwa na benki ya CRDB kwa ajili ya wateja wake.

No comments :

Post a Comment