Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 24, 2013

MSONDO NGOMA MUSIC YAINGIA STUDIO NA KUTANGAZA RATIBA YA IDDI


SUPER D
BENDI Kongwe ya Mziki wa dansi nchini Msondo Ngoma imeingia Studio kurekodi nyimbo zake mpya zitakazokuwa katika Albam moja akizungumza na waandishi wa habari Msemaji wa Bendi Hiyo Rajabu Mhamila 'Super D' amesema kuwa bendi yake kwa sasa imeingia studio kukamilisha kurekodi nyimbo zao mpya
Alizitaja nyimbo hizo kuwa li Suluhu uliotungwa na Shabani Dede,Lipi Jema na Baba Kibebe wa Eddo Sanga,Nadhili ya mapenzi wa Juma Katundu,Kwa momba akuna Uridhi ,Machimbo nyimbo zote hizo zikikamilika zitawekwa kwenye albam moja kwa ajili ya kuwapa raha mashabiki wao wawapo majumbani

Super D aliongeza kuwa bendi hiyo kwa sasa imesimamisha maonesho yake lakini watakapoanza sikukuu ya Idi mosi watatoa burudani katika ukumbi wa DDC Kariakoo idi pili watakua TTC Chang'ombe na idi tatu watavuka bahari kuelekea visiwa vya karafuu na kufanya onesho lao Zanzibar


Bondi hiyo kwa sasa inatamba na nyimbo zake mbalimbali wameweka nia ya kukonga mashabiki wa bendi hiyo kwa kupiga nyimbo mpya na zazamani ili kila mtu apate burudani unajua bendi yetu kongwe lazima tutoe burudani za aina tofauta aliongeza Super D

Bendi hiyo iliyopata umarufu mkubwa miaka ya nyuma imewahakikishia wapenzi wake kurudi katika ubora ule ule kama ilivyokuwa awari

No comments :

Post a Comment