Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Saturday, July 6, 2013
VIONGOZI MBALIMBALI WALIOTEMBELEA BANDA LA TTCL KATIKA MAONYESHO YA KIBIASHARA YA 37 YA KIMATAIFA JIJINI DAR
Raisi
wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Jakaya Kikwete
akimsikiliza Afisa Biashara wa Mkongo wa Taifa Bw. Thomas Lemunge wakati
alipotembelea banda hilo. Baadhi ya wafanyakazi wa TTCL wakati wa Ufunguzi rasmi wa maonesho ya 37 .
Mfalme
Mswati III na Waziri Mkuu mhe. Mizengo Pinda wakimsikiliza kwa makini
Mkuu wa Idara ya Huduma na Bidhaa zitolewazo na TTCL Bw. Ernest Isaya
wakati walipotembelea katika banda hilo.Meya
wa Manispaa ya Ilala Mhe. Jerry Silaa akisaini kitabu cha wageni baada
ya kupata maelezo ya kina kuhusu Mkongo wa Taifa unavyosaidia
kurahisisha biashara kwa njia ya mtandao, elimu-mtandao,
matibabu-mtandao pamoja na kuunganisha n.k
wateja
wakipata maelezo kuhusu huduma ya ziada wanazoweza kupata kupitia simu
za mkononi za TTCL ikiwa ni pamoja na huduma ya ‘teleconference’ ambapo
mteja ana uwezo wa kuongea na watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja (
kufanya mkutano kwa njia ya simu )n.k.
wateja
wakipata maelezo kuhusu huduma ya ziada wanazoweza kupata kupitia simu
za mkononi za TTCL ikiwa ni pamoja na huduma ya ‘teleconference’ ambapo
mteja ana uwezo wa kuongea na watu zaidi ya watano kwa wakati mmoja (
kufanya mkutano kwa njia ya simu )n.k.
Banda la kampuni ya simu ya TTCL kwenye viwanja wa vya maonyesho ya biashara ya TANTRADE.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment