Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 16, 2013

RAIS SHEIN AZUNGUMZA NA MWAKIISHI WA UNICEF TANZANIA





 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania Dk.Juma Gulaid, alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kumtambulisha Mkuu mpya wa Shirika hilo Mama FrancescaMoranditi, (hayupo pichani). (Picha na Ramadhan Othman Ikulu)

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF Ofisi ya Zanzibar Mama Francesca Moranditi, alipofika Ikulu Mjini
Zanzibar, kujitambulisha kwa Rais. (Picha na Ramadhan Othman Ikulu)
 Mwakilishi wa Shirika la UNICEF nchini Tanzania Dk.Juma Gulaid, (katikati) alipokuwa akimtambulisha Mama Francesca Moranditi, (kushoto) kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, (kulia) walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo mchana.

No comments :

Post a Comment