Makamu Mwenyekti wa Kitunda,Bi. Nancy Peter akiongoza akinamama kumshika askofu mkono wa kumkaribisha Parokia ya Kitunda kutoa asimikwe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam, Titus Mdoe. Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu,Titus Mdoe (katikati) na Paroko wa Parokia ya Kitunda, James Mweyunge (kuhoto) wakipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa litakalogharimu Sh. bil. 1.6 yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi, Bw. Simon Dorongo.Nyuma ya Paroko ni Mweyekiti wa Walei Parokia ya Kitunda, Dkt.Donald Antony Mwiturubani (Picha na Peter Mwenda).
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment