Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 12, 2013

Parokia ya Kitunda yamkaribisha Baba Askofu Msaidizi Jimbo Kuu la DSM Titus Mdoe


Muumini Anitha Mseti ambaye pia ni mfadhili wa Kwaya ya Familia Takatifu Kitunda akimshika mkono Askofu Msaidzi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe kumkaribisha Parokiani Kitunda baada ya kipaimara kwa watoto 198.Watoto walioata kipaimara Kanisa Katoliki Parokia ya Kitunda Watoto wa Utoto Mtakatifu Parokia ya Kitunda wakisalimiana na Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam,Mhashamu Titus Mdoe.

Makamu Mwenyekti wa Kitunda,Bi. Nancy Peter akiongoza akinamama kumshika askofu mkono wa kumkaribisha Parokia ya Kitunda kutoa asimikwe kuwa Askofu Msaidizi wa Jimbo la Dar es Salaam, Titus Mdoe.
Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu,Titus Mdoe (katikati) na Paroko wa Parokia ya Kitunda, James Mweyunge (kuhoto) wakipewa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa Kanisa litakalogharimu Sh. bil. 1.6 yaliyokuwa yakitolewa na Mwenyekiti wa Ujenzi, Bw. Simon Dorongo.Nyuma ya Paroko ni Mweyekiti wa Walei Parokia ya Kitunda, Dkt.Donald Antony Mwiturubani (Picha na Peter Mwenda).

No comments :

Post a Comment