Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 21, 2013

Golden Bush Veterani waikwanyua Faru Dume x3



Golden Bush Veterani a.k.a 'Wazee wa Dozi' katika moja ya mechi zao
WAKALI wa soka la maveterani jijini Dar es Salaam, Golden Bush Veterani jana asubuhi wameikwanyua bila huruma, Faru Dume ya Manzese kwa kuicharaza mabao 3-1 katika pambano la kirafiki lililochezwa kwenye uwanja wa Kinesi, Ubungo jijini Dar es Salaam.
Golden Bush ilipata ushindi wake huo mnono kupitia mabao ya Waziri Mahadhi 'Mandieta', Kudra Omar na Ally Chuo yaliyotosha kuizima Faru katika pambano hilo.
Uongozi wa Golden Bush ulisema umeridhishwa na kiwango cha timu yake na kwa sasa wanaendelea kujipanga kwa ajili ya mechi nyingine za kirafiki ili kugawa 'dozi' kwa wapinzani wao watakaoshuka mbele yao.

No comments :

Post a Comment